Msaada NACTE desk

Mpambalachuma

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
362
Reaction score
44
Jamani mimi katika application za kuomba chuo niliamua kwenda kufanyia stationery kwa wazoefu but nikaambiwa katika kumbukumbu number niweke ile number ya form four ya kuanzia s......, nikafanikiwa pia text ikaja kuwa nimefanikiwa kulipa katika NACTE, hivyo basi nikafanya application na baada ya hapo, nikaambiwa kuwa number ya kumbukumbu ni 607070 so najiuliza application nilioifanya ni batili!?

Msaada tafadhali
 

sijakuelewa mkuu,namba ya kampuni ndio hio uliotaja na ukiambiwa namba yako ya kumbukumbu ndio hio ilioanzia S
 
Nilikwenda kufanyia stationery, but nikaelekezwa hivyo sasa sijui itakua ni sahihi!?
 
Kwani pia ukikosea ktk malipo fomu ya registration itakuja!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…