irumba1
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 882
- 321
Amani kwenu wana JF,
Kwa wale tunaoaply kwa kutumia diploma kuna kulipia kupitia mpesa, sasa tcu/nacte kwenye guide book wameweka maelezo ni kama wamekosea, mfano unapiga *150*00# Halafu unaselect 4 baada ya hapo wanasema uchague 1 halaf uingize 607070 wakati kwenye 3 ndiko huduma za elimu zinapatikana.
Msaada please.
Kwa wale tunaoaply kwa kutumia diploma kuna kulipia kupitia mpesa, sasa tcu/nacte kwenye guide book wameweka maelezo ni kama wamekosea, mfano unapiga *150*00# Halafu unaselect 4 baada ya hapo wanasema uchague 1 halaf uingize 607070 wakati kwenye 3 ndiko huduma za elimu zinapatikana.
Msaada please.