Me nlitumia kiswahili:unachagua 4 halafu 4 tena na sio moja kama walivyoandika halafu andika 607070 halafu endelea kutoka hapo hapasumbui...
Amani kwenu wana JF,
Kwa wale tunaoaply kwa kutumia diploma kuna kulipia kupitia mpesa, sasa tcu/nacte kwenye guide book wameweka maelezo ni kama wamekosea, mfano unapiga *150*00# Halafu unaselect 4 baada ya hapo wanasema uchague 1 halaf uingize 607070 wakati kwenye 3 ndiko huduma za elimu zinapatikana.
Msaada please.
Nashukuru ndugu nimeshafanikiwa na nimeshaaply