Mr.genius
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,374
- 1,201
Salama wakuu? kwema? niende kwenye mada moja kwa moja.
Nafikiria kuanzisha duka la kuuza vifungashio vya bidhaa mbali mbali mfano: asali, karanga, ubuyu wengine wanawekea pilipili kiujumla wale wanaofanya biashara ya ku process na ku - pack vyakula vilivyoongezewa thamani hua wanatumia sana pamoja na mifuko ile mifuko tuliyozoea kuiita mifuko mbadala. Biashara yangu iko kwenye stage ya wazo bado, (location Morogoro mjini) hivyo nahitajji msaada wa taarifa zaidi like wapi ntapata hizo bidhaa (kama wanauza kwa jumla), mtaji kiasi gani nijiandae nao na namna biashara hiyo ilivyo kiujumla. Naamini jf ni jungu kuu halikosi ukoko waungwana mtanisaidia katika hilo.
Natanguliza shukrani.
Nafikiria kuanzisha duka la kuuza vifungashio vya bidhaa mbali mbali mfano: asali, karanga, ubuyu wengine wanawekea pilipili kiujumla wale wanaofanya biashara ya ku process na ku - pack vyakula vilivyoongezewa thamani hua wanatumia sana pamoja na mifuko ile mifuko tuliyozoea kuiita mifuko mbadala. Biashara yangu iko kwenye stage ya wazo bado, (location Morogoro mjini) hivyo nahitajji msaada wa taarifa zaidi like wapi ntapata hizo bidhaa (kama wanauza kwa jumla), mtaji kiasi gani nijiandae nao na namna biashara hiyo ilivyo kiujumla. Naamini jf ni jungu kuu halikosi ukoko waungwana mtanisaidia katika hilo.
Natanguliza shukrani.