Msaada: Nahisi kujichua kumeniathiri

Msaada: Nahisi kujichua kumeniathiri

SuperHb

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2016
Posts
911
Reaction score
751
Nina kama miaka 10 tangu nijiunge kwenye chama cha (CHAPUTA), nimeshajaribu sana kujitoa lakini nashindwa.

Hii hali ya kujichua naona inaanza kuniletea shida, nikiwa ndani ya uwanja wa 6/6 mpenzi wangu namuandaa vya kutosha mpaka anakuwa hoi ila mimi nakuwa sina hisia kabisa najilazimisha kuwa na hisia lakini nashindwa hisia inakuja kiasi then inapotea.

Msaada wenu ndugu zangu, naona apa naelekea kudhalilika.
 
Nina kama miaka 10 tangu nijiunge kwenye chama cha CHAPUTA...nimeshajaribu sana kujitoa lakini nashindwa..

Hii...Puri naona inaanza kuniletea shida ,nikiwa ndani ya uwanja wa 6/6...mpenzi wangu namuandaa vya kutosha mpaka anakuw hoi...ila mimi Nakuwa sina hisia kabisa ...najilazimisha kuwa na hisia lakn nashindwa....hisia inakuja kiasi then inapotea .....MSAADA WENU NDUGU ZANGU...NAONA APA NAELEKEA KUDHARIRIKA..
Acha kabisa hali itarudi kuwa normal ndani ya siku 90
 
Duuuhh miaka kumi[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Epuka puri kukuzoea, punde itakapo kuwa ni sehemu ya mahusiano yako it will cost you to death
ni kweli...nasasa ivi siitaki yena Puri....nifanyeje nirudi kwny hali yangu ya kawaida??....maana miaka 10 si haba
 
Naomba uweke hapa hapa picha nione hali ya kadushe kako kwa sasa kalivyo..then nitakushauri ufanyeje.

Nb . usiogope kuweka hapa picha wewe ni mgonjwa mods wataelewa. ,hakuna Dr anaweza kutoa dawa bila kuona. jf we dare to talk openly.
 
Back
Top Bottom