juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,478
Habari, mimi ni kijana wa umri wa miaka 24. Nimekuwa na maumivu ya mwili viungo haswa upande wa kushoto toka shingoni, begani, mkononi, kwenye nyonga mpaka mguuni. Pia kichwa kimenisumbua muda mrefu takriban wiki na siku sasa.
Nilipoenda hospitali nikaambiwa nina malaria 3 ila mpaka sasa nakaribia kumaliza dozi ya mseto ila mwili bado unauma pamoja na uchovu usioisha. Yani isipouma shingo kinauma kiuno kama sio kiuno ni mguu ambao muda mwingi nauona ukiwa katika hali tofauti kulinganisha na mguu wa kulia ambao mpaka sasa sioni kama una shida yeyote. Hali hii ya kuumwa nyonga upande wa kushoto na mguu wa kushoto ilikua muda kama wa mwaka inakuja na kuacha, nikahisi labda because nilikua namasturbate kwa muda mrefu labda ndio sababu nikajitahidi kuacha ila now naona kama maumivu hayo yanazidi ukizingatia nipo tu nyumbani sina mihangaiko yeyote zaidi ya kuuza duka.
Lakini nikitembea au nikijishughulisha kama maumivu na izo numbness au tingling feeling zinasimama. Ila nikitulia zinarudi tena. Nimesoma naona hii condition inaitwa fibromyalgia na kwamba haina absolute cure au treatment, to be honest am so afraid koz that means mimi niwe mtu wa mapainkillers forever.
Kwa health,medical experts naomba mnipe insight nafanyaje maana mimi ndo kwanza graduate and I have alot of things to do in my life. Im so stressed out about this. Advice me anyone.
Help!!![emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Nilipoenda hospitali nikaambiwa nina malaria 3 ila mpaka sasa nakaribia kumaliza dozi ya mseto ila mwili bado unauma pamoja na uchovu usioisha. Yani isipouma shingo kinauma kiuno kama sio kiuno ni mguu ambao muda mwingi nauona ukiwa katika hali tofauti kulinganisha na mguu wa kulia ambao mpaka sasa sioni kama una shida yeyote. Hali hii ya kuumwa nyonga upande wa kushoto na mguu wa kushoto ilikua muda kama wa mwaka inakuja na kuacha, nikahisi labda because nilikua namasturbate kwa muda mrefu labda ndio sababu nikajitahidi kuacha ila now naona kama maumivu hayo yanazidi ukizingatia nipo tu nyumbani sina mihangaiko yeyote zaidi ya kuuza duka.
Lakini nikitembea au nikijishughulisha kama maumivu na izo numbness au tingling feeling zinasimama. Ila nikitulia zinarudi tena. Nimesoma naona hii condition inaitwa fibromyalgia na kwamba haina absolute cure au treatment, to be honest am so afraid koz that means mimi niwe mtu wa mapainkillers forever.
Kwa health,medical experts naomba mnipe insight nafanyaje maana mimi ndo kwanza graduate and I have alot of things to do in my life. Im so stressed out about this. Advice me anyone.
Help!!![emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]