SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Wakuu poleni na Majukumu na tuendelee kupambana, nimekuja kwenu kijana wenu nipate msaada wa changamoto inayonisibu kwa sasa.
Nmeugua vidonda vya tumbo tangu mwaka jana nligundulika baada ya kupata maumivu makali sana sehemu ya kifuani upande wa kushoto (sehemu ya moyo) nilipata vipimo na kuambiwa ni vidonda vya tumbo vimenisibu basi nikapewa dawa flani imeandikwa LCT KIT kwa maelekezo nitumie ndani ya two weeks then nirudi hospital nikapate vipimo wajue maendeleo yangu, nlitumia hiyo dawa hadi nikajisikia kupona kabisa, baadae kabla ya kumalza dose nliondoka nje ya mkoa hvo sikuweza kwenda kupata check up tena badala yake nlianza kunywa maji mengi kila asubuhi na nlijisikia vizuri na tumbo kupoa kabisa.
Sasa tangu mwezi wa May nasumbuliwa na tumbo na kuna kitu kimenikaa kifuani kwenye chemba ya moyo yani kinafanya nakuwa na hasira muda wote lakini pia nimekuwa ni mtu wa kushtuka na kutokujiamini kabisa, haitoshi nimekuwa na mtu wa kupelekeshwa tu hovyo yaani nmekuwa kama mjinga flani sieleweki.
Muda mwingi nakuwa sina furaha sina amani mnyonge na sipendi kuchangamana na watu hata Church nikienda naona hata kuimba aibu, kusalimia nmekuwa mzito yaani kiufupi sijiamini kabis hata kwa mpenzi wangu nmebadilika nmekuwa nikiwahi kufika kileleni sana kitu ambacho mpenzi wangu anasema namfanyia makusudi, sina hisia nae nawaza wanawake wengine yn ht nijitahd vipi ni bao mbili tu bao la 3 hisia hazipo kabisa hata afanye nini dah.
Jana nimekaa nikaona hapana mbona ni kama ninatatzo mm nmefikiria vidonda vya tumbo ndio sababu ya yote haya au kuna shida nyingne yn kwanini nakuwa hivi.
Nahitaji kujua mtu ukiwa na Stomach ulcers ndio unakuwa na mawazo tu, mnyonge, dhaifu, kujiona haufui, kushindwa kula, kichefuchefu, kuwahi kufika kileleni, kuwa na hasira muda wote, mtu akikukera hata ukimsamehe bado kuna muda utam-mind tu, kujishusha mithiri ya kuwa mtu usiejielewa?
Nahtaji msaada kwa hili.
Na mniombee ndg yenu maana ni aibu napata sasa.
Natanguliza shukrani wakuu.
Nmeugua vidonda vya tumbo tangu mwaka jana nligundulika baada ya kupata maumivu makali sana sehemu ya kifuani upande wa kushoto (sehemu ya moyo) nilipata vipimo na kuambiwa ni vidonda vya tumbo vimenisibu basi nikapewa dawa flani imeandikwa LCT KIT kwa maelekezo nitumie ndani ya two weeks then nirudi hospital nikapate vipimo wajue maendeleo yangu, nlitumia hiyo dawa hadi nikajisikia kupona kabisa, baadae kabla ya kumalza dose nliondoka nje ya mkoa hvo sikuweza kwenda kupata check up tena badala yake nlianza kunywa maji mengi kila asubuhi na nlijisikia vizuri na tumbo kupoa kabisa.
Sasa tangu mwezi wa May nasumbuliwa na tumbo na kuna kitu kimenikaa kifuani kwenye chemba ya moyo yani kinafanya nakuwa na hasira muda wote lakini pia nimekuwa ni mtu wa kushtuka na kutokujiamini kabisa, haitoshi nimekuwa na mtu wa kupelekeshwa tu hovyo yaani nmekuwa kama mjinga flani sieleweki.
Muda mwingi nakuwa sina furaha sina amani mnyonge na sipendi kuchangamana na watu hata Church nikienda naona hata kuimba aibu, kusalimia nmekuwa mzito yaani kiufupi sijiamini kabis hata kwa mpenzi wangu nmebadilika nmekuwa nikiwahi kufika kileleni sana kitu ambacho mpenzi wangu anasema namfanyia makusudi, sina hisia nae nawaza wanawake wengine yn ht nijitahd vipi ni bao mbili tu bao la 3 hisia hazipo kabisa hata afanye nini dah.
Jana nimekaa nikaona hapana mbona ni kama ninatatzo mm nmefikiria vidonda vya tumbo ndio sababu ya yote haya au kuna shida nyingne yn kwanini nakuwa hivi.
Nahitaji kujua mtu ukiwa na Stomach ulcers ndio unakuwa na mawazo tu, mnyonge, dhaifu, kujiona haufui, kushindwa kula, kichefuchefu, kuwahi kufika kileleni, kuwa na hasira muda wote, mtu akikukera hata ukimsamehe bado kuna muda utam-mind tu, kujishusha mithiri ya kuwa mtu usiejielewa?
Nahtaji msaada kwa hili.
Na mniombee ndg yenu maana ni aibu napata sasa.
Natanguliza shukrani wakuu.