Dawa ya stress ambayo ni temporary ni kufanya mazoezi kwa dk 30. Kama huna mudi ya zoezi chukua nanasi kipande, papai, limao, na chungwa brend pata smoothie na kunywa usiweke maji ila kidogo ya kusaidia kuzungusha brenda,.. Itakusaidia. Dawa ya stress ya permanent ni kufaham kuwa kila kitu ulicho kuwa nacho na usicho kuwa nacho ni mali ya mungu akitaka anakupa akitaka anachukua.. Iwe mali iwe watoto.. Na pia kujua kuwa kila kitu kina expire date yake iwe furaha iwe huzuni... Muhimu ni kuwa na subira na kukipa kitu muda.... Ukifaham hilo utakuwa mtu wa furaha milele kama mimi... Mfano mpenzi wako akikuacha utahuzunika kwa muda ila utajua hiyo ndo expire date yake na utasonga mbele.