Msaada Nahitaji Display Original ya Samsung Galaxy A10

Msaada Nahitaji Display Original ya Samsung Galaxy A10

Afisa Mteule Drj 2

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2017
Posts
3,865
Reaction score
4,506
Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya Samsung galaxy A10.Mimi napatikana Songwe
 
Back
Top Bottom