Zamani ilikuwa kwenda kuapa mahakamani halafu unaenda huko vizazi na vifo unachongewa cheti kingine, kwa sasa sijui.
Ila pia ukienda huko polisi kuripoti kimeibiwa wanakupa sijui nini unaenda kukata cheti kingine.
Ukiwa na hela ya kununua haki yako nchi haupati shida