Utaratibu wao upo hivi
1.Nenda na barua ya resignation/termination ya employment, kwenye kanda uliyokua ukifanyia kazi, itoe kopi hio barua utawaachia wanadai wanaverify kama kweli umeacha kazi au kazi imesitishwa hii wanasema itachukua siku 2-3 kwaio kua mvumilivu
2.Baada ya hizo siku 2-3 nenda na kitambulisho chako, pia kitoe kopi hicho kitambulisho chako, pia nenda,picha za passport size 3 na form ulizo jaziwa na HR wako zinaonesha kweli umeacha kazi, michango yako na namba za risiti ya michango yako...utapewa form uijaze ndo hizo picha zinabandikwa halafu utapewa tarehe ya ahadi ya siku ya kuchukua mpunga wako mara nyingi ni wiki 3 kwenye utaratibu wa urgency nafahamu ni kwenye kwenda kusoma ili uwahi kulipa ada sana unaweza ambatanisha na admission form ya either chuo ulichochaguliwa etc inaweza chukua hata siku tatu ukapata
4. kwa kifupi huo mchakato ni wa around mwezi hivi assuming haujakutana na vikwazo vya mtandao upo down njoo kesho, au form yako bado haijasainiwa etc etc