kigezo kikubwa uwe na accounts background nzuri undergraduate au experience in tax practices!
institute of tax administration wanatoa hiyo kozi wa miezi 18 kama sikosei na wakajifunza vitu vingi sana tofauti na IFM wanaosoma 12 months
pia mwaka huu SAUT dar campus wameanza kutoa hiyo course.
hasara yakusoma kozi hii huku ukitegemea ajira ni mbaya sana kwani mwajiri mkubwa ni tra tu,ila kama unafanya ili uwe expert au taxconsultant faida ni kubwa sana,utapiga dili sana hapa mjini
all the best mkuu