Wenzako wanasambaza picha za uchi wawapoteze wana wa adamu. Wewe tafuta mtoko mwingine, usimsaidie shetani kuharibu jamiihabar zenu wadau,
Kutokana na uhaba wa ajira tz sio siri kujiajiri ndi suala la ulazima kwa sasa basi nimeamua kujishughulisha na masuala ya blog kwani nazan muda mwingi nautumia mtandao hivyo hii shughuli itanifaa naomba kwa wanaojua biashara hii kwa maeneo yetu tulipo inafanyikaje mpaka ikuletee faida kabisa jinsi ya kupata viewer wengi kwenye blog yangu.
natanguliza shukrani,
habar zenu wadau,
Kutokana na uhaba wa ajira tz sio siri kujiajiri ndi suala la ulazima kwa sasa basi nimeamua kujishughulisha na masuala ya blog kwani nazan muda mwingi nautumia mtandao hivyo hii shughuli itanifaa naomba kwa wanaojua biashara hii kwa maeneo yetu tulipo inafanyikaje mpaka ikuletee faida kabisa jinsi ya kupata viewer wengi kwenye blog yangu.
natanguliza shukrani,
wazo zuri kama umeamua kujiajir kwa kupitia njia hiyo lakin opinion zangu ni kwamba ili uwe climax katka mlengo wako ni lazima ujarib ku-import sana naked image ili ziwe na viewerz wengi hapo utafanikiwa kwa kiasi flan japo utakuwa unakipoteza hiki kizaz cha nabii adam
Wenzako wanasambaza picha za uchi wawapoteze wana wa adamu. Wewe tafuta mtoko mwingine, usimsaidie shetani kuharibu jamii
Mimi nina blogu lakini haipo kibiashara, ila sasa nafikiria pengine niiweke kibiashara.picha za uchi google hawaruhusu na mtoko mwingine kama upi mkuu nishauri hasa masuala ya mitandao i.e I.T
yap lakin njia ya uhakika upo google adsense kwa page view hizo unaweza tengeneza pesaMimi nina blogu lakini haipo kibiashara, ila sasa nafikiria pengine niiweke kibiashara.Mpaka sasa hivi nina page views 112,959 na kwa siku watu zaidi ya 250 na kwa mwezi watu zaidi ya elfu 10 wanatembelea blogu yangu. Unadhani hii inaweza kuwavutia watu wanaotaka kutangaza biashara zao?
Jaribu kupitia hapa TENGENEZA BLOG YENYE WASOMAJI WENGI (HIGH TRAFFIC BLOG) - ChapishaChapishaHabar zenu wadau,
Kutokana na uhaba wa ajira TZ sio siri kujiajiri ndio suala la ulazima kwa sasa basi nimeamua kujishughulisha na masuala ya blog kwani nazani muda mwingi nautumia mtandao hivyo hii shughuli itanifaa
Naomba kwa wanaojua biashara hii kwa maeneo yetu tulipo inafanyikaje mpaka ikuletee faida kabisa jinsi ya kupata viewer wengi kwenye blog yangu.
Natanguliza shukrani,
Habar zenu wadau,
Kutokana na uhaba wa ajira TZ sio siri kujiajiri ndio suala la ulazima kwa sasa basi nimeamua kujishughulisha na masuala ya blog kwani nazani muda mwingi nautumia mtandao hivyo hii shughuli itanifaa
Naomba kwa wanaojua biashara hii kwa maeneo yetu tulipo inafanyikaje mpaka ikuletee faida kabisa jinsi ya kupata viewer wengi kwenye blog yangu.
Natanguliza shukrani,