Msaada: Nahitaji kujua ukubwa wa mota ya kusaga na kukoboa

Msaada: Nahitaji kujua ukubwa wa mota ya kusaga na kukoboa

Stt

New Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
1
Reaction score
0
Ndugu wana jamii,

Nahitaji kujua ukubwa wa mota ya kusaga na na kukomoa, nataka niwe napack sembe, ipi ni bora kiuchumi zaidi ili nipate faida.
 
Back
Top Bottom