Msaada: Nahitaji kujua ukubwa wa mota ya kusaga na kukoboa

Stt

New Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
1
Reaction score
0
Ndugu wana jamii,

Nahitaji kujua ukubwa wa mota ya kusaga na na kukomoa, nataka niwe napack sembe, ipi ni bora kiuchumi zaidi ili nipate faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…