Msaada: Nahitaji kula kiapo

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,944
Reaction score
2,032
Wakuu ninahitaj msaada wenu wa mawazo,nipo huku a town ila sijui niende mahal gani pa kumpata wakili wa kuniapisha,ili niweze endelea na kes yangu ya madai nilofungua katika taasisi fulani hapa arusha.Je kuna gharama ntazodaiwa kwa huduma hiyo.Naomben msaada wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…