Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,115
- 2,231
Ndugu wana JF nawasalimu,
Baada ya salam husikeni na kichwa cha mada,
Kama kinavosema nina shida ya kupata mkopo na nina dhama ya biashara na kiwanja na pia ninaishi kwangu yaani sijapanga.
Naomba kama kuna mtu anahusika na mikopo au ana ndugu au rafiki hata jamaa anaehusika na mkopo iwe bank au taasisi yoyote aniunganishe naye ila nilikuwa nahitaji mkopo wa milion 6 kuendelea na uwe mda mrefu kama miaka 2 au hata 3 ili isinisumbue kuulipa maana nafahamu hela ya bank au ya kukopa haipotei hata sh 100 inatakiwa kulipwa yote.
Kwa mawasiliano njoo PM au nibipu nitakupigia 0756695846 au 0716258599,nipo dar mitaa ya tbt
Asanteni sana kwa ushirikiano wenu na samahani kwa usumbufu.
Baada ya salam husikeni na kichwa cha mada,
Kama kinavosema nina shida ya kupata mkopo na nina dhama ya biashara na kiwanja na pia ninaishi kwangu yaani sijapanga.
Naomba kama kuna mtu anahusika na mikopo au ana ndugu au rafiki hata jamaa anaehusika na mkopo iwe bank au taasisi yoyote aniunganishe naye ila nilikuwa nahitaji mkopo wa milion 6 kuendelea na uwe mda mrefu kama miaka 2 au hata 3 ili isinisumbue kuulipa maana nafahamu hela ya bank au ya kukopa haipotei hata sh 100 inatakiwa kulipwa yote.
Kwa mawasiliano njoo PM au nibipu nitakupigia 0756695846 au 0716258599,nipo dar mitaa ya tbt
Asanteni sana kwa ushirikiano wenu na samahani kwa usumbufu.