Kwan bachelor yako ya mwanzo ni ya fani gani?
acha hizo mkuu, kwa nn uwazibie watoto wa wakulima ambao wanatafuta nafasi ya kusoma? Kama unataka kusoma level ileile ni bora ujilipie mwenyewe na sio kuisumbua serikali. Mimi nakushauri itumie hiyohiyo degree yako ya kwanza pia siku nyingine uwe makini unapochagua taaluma ya kusoma sio unakurupuka.
sas si ungechange mapema kabla ujamaliza chuo? watu wengine wanasifa kweli elimu ya chuo kikuu ushapata baada ufanye kazi ujilipie masomo yako.unakuja kuwabania wenzako na kama nngekuwa mm ndo naingia first year alaf nikakosa mkopo lazma nngekuloga ili UDISCO thats becouse ujielewi
Naomba hili nisilijibu coz sitaki kuwakatisha tamaa watu wakati maamuzi yangu yanatokana na utashi wangu na wala sio na coz niliyosoma.
Km unaona tabu kujibu basi na ss tukusaidieje...piga kazi ht km si ya fani yako upate hela...umesomea degree ya kufukua kinyesi nn...hakuna fani isiyo na faida
Nadhani hukusoma post yangu sawa sawami nilivyoona unasema degree ya pili nilidhani Masters kumbe co duuh kujieleza shida ata ukiwa umemaliza chuo
Bachelor degree ya pili maana yake unataka kusoma bachelor nyingine tofauti na uliyosomea mwanzo au ulikuwa unamaana unataka kusoma degree ya pili yaani Masters...???sijakuelewa dogoHabari Wadau.
Mimi nmehitimu chuo this year ila nina mpango mwakani wa kusoma bachelor degree nyingine. Naomba msaada wa procedures hasa pale loans board ili niweze pata mkopo tena sababu TCU najua hawana shida.
Thanks in advance.
Bachelor degree ya pili maana yake unataka kusoma bachelor nyingine tofauti na uliyosomea mwanzo au ulikuwa unamaana unataka kusoma degree ya pili yaani Masters...???sijakuelewa dogo
mi nilivyoona unasema degree ya pili nilidhani Masters kumbe co duuh kujieleza shida ata ukiwa umemaliza chuo
amesema bachelor nyingine, hajakosea kujieleza, we ndiye uliyekosea kumweelewa(bachelor=digrii ya i na master=digrii ya pili), na mdau kasema bachelor nyingine na si digrii ya pili.
Kwa ushauri mkuu badala ya kusoma digrii ya kwanza ya kitu kingine, kwa nini usisome pgd ya hiyo digrii ili ikusaidie kufanya masters ya hicho unachotaka kufanyia bachelor nyingine.
Ila kwa nini unafanya hivyo?
Wazo zuri..
Kusoma bachelor degree ya pili ni vizuri zaid kwani itakuongezea ushindani katika soko la ajira na pia kuweza kufikia hayo mlengo yako.
Usikate tamaa, ni vitu vya kawida sana nchi za nje.
Suala la bodi ya mkopo mi nadhani uende makao makuu ukapate maelezo zaidi mwenyewe, ila utaratibu wa zamani ilikikuwa unalipa kwanza robo ya mkopo ulochukua mwanzo ndio upate mwingine ila kwa sasa sina hakika juu ya hilo, maan mambo hubadilika kila leo.