MSAADA; Nahitaji Kuwa Msanii wa Filamu.

MSAADA; Nahitaji Kuwa Msanii wa Filamu.

ze future

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
204
Reaction score
299
Habari yako, mimi ni kijana wa miaka 20s ni mhitimu wa chuo 2020(Bachelor Degree in Tax Management).

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa napokea maoni mbalimbali haswa hapa mtaani wakinishauri kuwa niende nikaigize maana naonesha kuwa ninakipaji hiko, binafsi nahitaji sana kuwa muigizaji endapo nitapata nafasi ya kuonyesha huu uwezo wangu niliokuwa nao.

Ombi langu;
Nakuja hapa endapo kuna mtu aliyekuwa na ufahamu ni njia, kipi au hata connection ya mimi kuweza kufanikisha naingia kwenye hii tasnia ya maigizo.
 
Habari yako, mimi ni kijana wa miaka 20s ni mhitimu wa chuo 2020(Bachelor Degree in Tax Management).

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa napokea maoni mbalimbali haswa hapa mtaani wakinishauri kuwa niende nikaigize maana naonesha kuwa ninakipaji hiko, binafsi nahitaji sana kuwa muigizaji endapo nitapata nafasi ya kuonyesha huu uwezo wangu niliokuwa nao.

Ombi langu;
Nakuja hapa endapo kuna mtu aliyekuwa na ufahamu ni njia, kipi au hata connection ya mimi kuweza kufanikisha naingia kwenye hii tasnia ya maigizo.
karibu sana, kwanza, kazi ya sanaa inaanza na kuhudhuria auditions, yani

mtengeneza muvi (producer? huandaa audition kupata watu wa kucheza kazi yake

kuna kupata hiyp nafasi ama kukosa, ila faida ni kuwa kadri uhudhuriavyo auditions ndio unatengeneza connection na wasanii wezako, hivyo kufahamu jinsi ya kupata kazi n. k

kesho kuna audition ili kupata wacheza tamthilia sehemu inaitwa davis corner, huko tandika kuanzia saa tatu asubuhi, fika kwenye audition hiyo, utafanya audition na kukutana na wasanii wengine

fika davis kona tandika kesho januari 6, kuanzia saa tatu asubuhi, mimi pia nitakuwepo
 
karibu sana, kwanza, kazi ya sanaa inaanza na kuhudhuria auditions, yani

mtengeneza muvi (producer? huandaa audition kupata watu wa kucheza kazi yake

kuna kupata hiyp nafasi ama kukosa, ila faida ni kuwa kadri uhudhuriavyo auditions ndio unatengeneza connection na wasanii wezako, hivyo kufahamu jinsi ya kupata kazi n. k

kesho kuna audition ili kupata wacheza tamthilia sehemu inaitwa davis corner, huko tandika kuanzia saa tatu asubuhi, fika kwenye audition hiyo, utafanya audition na kukutana na wasanii wengine

fika davis kona tandika kesho januari 6, kuanzia saa tatu asubuhi, mimi pia nitakuwepo

nicheki kwa namba 0742 938 055
Nimekuelewa na nakutafuta ili kesho niweze kufika.
 
Nimekuelewa na nakutafuta ili kesho niweze kufika.
Unaweza kunipa Wajihi wako hata Kwa PM....
Height yako.
Rangi.
Mnene au mwembamba n.k

Nakuunganisha na Mdogo wangu, ni Director kwenye Tamthilia moja inaoneshwa Kwenye moja kati ya TV station kubwa Bongo.

Means kama utakua na Vigezo na kipaji, utaingia moja Kwa moja na kuanza kushoot.....
 
Abari mkuu.kwanza kabisa napenda kukushukuru kwa kuweka Uzi huu Mimi pia Ni kijana mwenye 20 Ni mzaliwa wa kigoma ujiji ndoto yangu kubwa yangu makubwa nikuja kuwa msanii makubwa wa maigizo hapa tz na nje bia role model wangu Ni marhem Steven kanumba natamani kuwa zaidi ya alivyo kua

Ombilangu....

Endapo utapata connection basi usisite kujiunga na Mimi ili tuweze kuishi ndoto zetu
 
Back
Top Bottom