Ni rahisi sana mkuu, inabidi tu uwe na TIN, LESENI ya biashara na Kitambulisho chako. Ukiwa na hivyo unatembelea wakala mkuu wa eneo lako akusaidie kupata line ya uwakala (kupata contacts za wakala mkuu wa eneo ulilopo nenda ofisi za Airtel iliyopo karibu watakupa contacts).
Hakuna gharama yoyote unayotakiwa kutoa zaidi ya vitu vidogo vidogo kama sijui mkataba sijui muhuri wa mwanasheria kutokana na utaratibu wa huyo wakala mkuu.
Muda wa kuisubiria hiyo line mpaka uipate nao siyo mrefu kihivyo , hauwezi kuzidi miezi miwili.
Kama unataka ready made, nitakuuzia. nitafute Inbox
Hope nimekusaidia