Msaada: Nahitaji majina ya watoto wa Kike na Kiume ya Kiafrika, yasiwe ya Kizungu, Kiarabu wala Kiswahili

Dr. Mariposa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,264
Reaction score
10,535
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.
 
Nyonyoma,
Nchichiwona,
Limbanga &
Apondogolo.
 
Nyanjige, Nyangeta, Nyamayao, Kibakuli, Semeni, Ntongela, Nyanoko, Nyaneko, Sunche, Kapeto, Timbili, Timbilo,aki,ukwa,okwechuku,uche,kabula,maige,komba,mmwamposa,lusekelo,mwaipaja,mwaipopo,bukuku,muhando,magufuli,suluhu,mwigulu,mwansasu,mkwawa,kawawa,kalimantoke.
 
Kiafrika kipoje toa mfano ...unataka kama
Zuma,
Tshangirai
Kaunda
Kagame
au
Sadiki
Salama
Rehema
Mawingu
Amani
Nuru
Furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…