Msaada: Nahitaji passport ya kusafiria

Kwa ninavojua na experience nliyona mwezi mmoja hauishi huwa ni siku14 tu ukifanya taratibu zote tena online unaenda tu wilayani wanakupitishia, mwisho mkoani kwa 150000, ila express mmhh
Shukran sana mkuu
 
Shukran mkuuπŸ™πŸ™
 
Nikuazime yangu?
 
Duh! Milioni? Mbona kubwa sana mm nimepata passport yangu ndani ya wiki na siku tatu kwa Tsh. 450,000/- tu
 
Kila kitu unacho kwenye simu msaada wa nini sasa jaza maombi fomu zipo kwenye simu yako kisha zitume hizo fomu kesho uende ofisi ya karibu nawe
 
450,000 ina maana ulitoa 300,000 ya ganji au vipi
Ndio mkuu maana hapo ni kama nlitoa 470,000/- malipo ya passport yalikuwa 150,000/- 130k ya passport 20k ya fomu jumla ndio hiyo 150k ila ilipidi nitoe 20k ya mwanasheria sjui kuna kuapa mahakamani (ila wanatoa hapo hapo hakuna kufika mahakamani) maanake kwenye hiyo 470k malipo halali ilikuwa 150k ambayo ndio ina risiti hiyo 320k haina risiti
Passport ilipofika yule askari alinicheki mwenyewe nikachukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…