T tizo1 JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 856 Reaction score 145 Sep 14, 2012 #1 MSAADA NDUGU ZANGU WA DHATI.NINAJIANDAA KUFANYA MITIHANI HIYO CHUONI VETA.MWENYE PAST PAPERS ZA ELECTRICAL INSTALLATION GRADE 3,2 NA 1 ANISAIDIE.nipo tayari Kuzisafirisha mpaka Zinifikie.NIPO TABORA.
MSAADA NDUGU ZANGU WA DHATI.NINAJIANDAA KUFANYA MITIHANI HIYO CHUONI VETA.MWENYE PAST PAPERS ZA ELECTRICAL INSTALLATION GRADE 3,2 NA 1 ANISAIDIE.nipo tayari Kuzisafirisha mpaka Zinifikie.NIPO TABORA.
T tizo1 JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 856 Reaction score 145 Sep 15, 2012 Thread starter #2 Msaada jamani.mambo ni magumu
Makbel JF-Expert Member Joined Aug 14, 2011 Posts 774 Reaction score 167 Sep 15, 2012 #3 Mi ninazo za mwaka wa pili kama vipi tuwasiliana. my namba 0717577755 nipo Dar es salaam.
Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Sep 15, 2012 #4 Una sh ngapi?
T tizo1 JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 856 Reaction score 145 Sep 16, 2012 Thread starter #5 Asante sana mkuu.Nitakupigia kwa namba yangu ya tigo Makbel said: Mi ninazo za mwaka wa pili kama vipi tuwasiliana. my namba 0717577755 nipo Dar es salaam. Click to expand...
Asante sana mkuu.Nitakupigia kwa namba yangu ya tigo Makbel said: Mi ninazo za mwaka wa pili kama vipi tuwasiliana. my namba 0717577755 nipo Dar es salaam. Click to expand...
T tizo1 JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 856 Reaction score 145 Sep 16, 2012 Thread starter #6 Mkuu kama unataka pesa unasema unataka kiasi gani....nipo kwenye shida sana na hiyo kitu. boflo said: una sh ngapi? Click to expand...
Mkuu kama unataka pesa unasema unataka kiasi gani....nipo kwenye shida sana na hiyo kitu. boflo said: una sh ngapi? Click to expand...
Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Sep 16, 2012 #7 tizo1 said: Mkuu kama unataka pesa unasema unataka kiasi gani....nipo kwenye shida sana na hiyo kitu. Click to expand... wekundu 3 tu
tizo1 said: Mkuu kama unataka pesa unasema unataka kiasi gani....nipo kwenye shida sana na hiyo kitu. Click to expand... wekundu 3 tu
T tizo1 JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 856 Reaction score 145 Sep 18, 2012 Thread starter #8 UTANIUA KAKA.kwa jinsi Nilivyo na SHIDA NITAKUPA MWEKUNDU 1 ndugu....TAFADHARI NISAIDIE KAMA ITAWEZEKANA. Boflo said: wekundu 3 tu Click to expand...
UTANIUA KAKA.kwa jinsi Nilivyo na SHIDA NITAKUPA MWEKUNDU 1 ndugu....TAFADHARI NISAIDIE KAMA ITAWEZEKANA. Boflo said: wekundu 3 tu Click to expand...