Agiza china mkuuWakuu habari.
Nipo jijini Dar nilikuwa nahitaji dumb bells used au za mtumba au hata zile wanazotengeneza mtaani. Mpaka nakuja kuuliza humu ina maana sina pa kuanzia na naamini ntapata msaada humu.
Uchumi kidogo umebana siwezi kununua vipya kwahiyo yoyote anaeweza nisaidie chimbo la dumb bells za uzito mbali mbali hapa Dar, za mtumba au hata za kutengeneza kitaa nitashukuru.
Hapo chini sijakuelewal manake una sementi 1 na visado 5 ama?Mimi natengeneza local mchawi simenti na visado tuu
1-5
kono la nyaniHapo chini sijakuelewal manake una sementi 1 na visado 5 ama?
pacome zua zuaaaHapo chini sijakuelewal manake una sementi 1 na visado 5 ama?
Bei imesimama paleGerezani kkoo vipo vingi sana
Akaulizie tu...akishindwa atakuwa kapata uzoefuBei imesimama pale