Pole sana wewe ni me or ke?Habari ndugu zangu,
Nina umri 23, nimepata tatizo la maumivu makali ya nyonga (kiuno). Nimesha fika hospitali zaidi ya mara 2 na nimetumia dawa za vidonge na kuchua, pia hua zinapunguza maumivu kwa muda tu ila yanarudi na xrays nimepiga sina tatuzo lolote.
Tangu niumwe ni miezi 7 sasa na sijui nawezaje kupona, mwenye ushauri au kujua dawa naomba mnisaidie ndugu zangu.
PoleHabari ndugu zangu,
Nina umri 23, nimepata tatizo la maumivu makali ya nyonga (kiuno). Nimesha fika hospitali zaidi ya mara 2 na nimetumia dawa za vidonge na kuchua, pia hua zinapunguza maumivu kwa muda tu ila yanarudi na xrays nimepiga sina tatuzo lolote.
Tangu niumwe ni miezi 7 sasa na sijui nawezaje kupona, mwenye ushauri au kujua dawa naomba mnisaidie ndugu zangu.
weka details vizurHabari ndugu zangu,
Nina umri 23, nimepata tatizo la maumivu makali ya nyonga (kiuno). Nimesha fika hospitali zaidi ya mara 2 na nimetumia dawa za vidonge na kuchua, pia hua zinapunguza maumivu kwa muda tu ila yanarudi na xrays nimepiga sina tatuzo lolote.
Tangu niumwe ni miezi 7 sasa na sijui nawezaje kupona, mwenye ushauri au kujua dawa naomba mnisaidie ndugu zangu.
Tumia hizi hapa. Ni virutubisho unavohitaji sio dawa paseeHabari ndugu zangu,
Nina umri 23, nimepata tatizo la maumivu makali ya nyonga (kiuno). Nimesha fika hospitali zaidi ya mara 2 na nimetumia dawa za vidonge na kuchua, pia hua zinapunguza maumivu kwa muda tu ila yanarudi na xrays nimepiga sina tatuzo lolote.
Tangu niumwe ni miezi 7 sasa na sijui nawezaje kupona, mwenye ushauri au kujua dawa naomba mnisaidie ndugu zangu.
Mkuu pole sana kwa hayo maradhi yako ya nyonga nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.Habari ndugu zangu,
Nina umri 23, nimepata tatizo la maumivu makali ya nyonga (kiuno). Nimesha fika hospitali zaidi ya mara 2 na nimetumia dawa za vidonge na kuchua, pia hua zinapunguza maumivu kwa muda tu ila yanarudi na xrays nimepiga sina tatuzo lolote.
Tangu niumwe ni miezi 7 sasa na sijui nawezaje kupona, mwenye ushauri au kujua dawa naomba mnisaidie ndugu zangu.