my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
ke npo daslamwewe ni me au ke
upo mkoa gani hapa Tz
cungui ila unakua wa moto sna had unatoa mosh mwng snaMmmh mkojo wa moto?? So unavyokojoa huwa unaungua?
jitahidi uwe unakunywa sana maji ya baridi na utumie barafu kwa wingi!!.
ulikua wa moto ila ss hv umezd kua wa moto unatoa mosh km maj yaliotoka jkonKwani siku zote ulikuwa unakojoa mkojo wa baridi?
asante sna ntajtahd niendeNenda hsp
asnte sna ntajtahd kupmanijuavyo mkojo ni wa moto ,,, ila kama unauma ukikojoa kapime UTI
we daktar au mganga wa kienyejJitahidi uwe unakunywa sana maji ya baridi na utumie barafu kwa wingi!!.
asnte sna ntajtahd kupma