Msaada nakufa mwenzenu

ladypeace

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
935
Reaction score
506
nimechanganyikiwa wajameni sioni jina la mdogo wangu kwenye selection za vyuo vyote japo profile status yake wameandika yuko selected nisaidieni mawazo
 
Ebu andika choice zake ziko vipi???

Asante mkuu,
Imiversity of dodoma,saint jhon,tumain unibersity dar,teofilo kisanji tabora na sant agustino
Kaomba bachelor ya education.anaitwa hezron marwa s1898/0017/2010
 
Asante mkuu,
Imiversity of dodoma,saint jhon,tumain unibersity dar,teofilo kisanji tabora na sant agustino
Kaomba bachelor ya education.anaitwa hezron marwa s1898/0017/2010

asubiri second batch UDOM kama hayupo first batch.
 
Asante mkuu,
Imiversity of dodoma,saint jhon,tumain unibersity dar,teofilo kisanji tabora na sant agustino
Kaomba bachelor ya education.anaitwa hezron marwa s1898/0017/2010

umepanic mwenyewe sasa sijui wewe unakufa vipi? acha pressure jina lipo chuo cha TUDARCO tumaini

sasa sielewi uliangalia mwenyewe au uliangaliziwa jadi iseme jina hamna
 
umepanic mwenyewe sasa sijui wewe unakufa vipi? acha pressure jina lipo chuo cha TUDARCO tumaini

sasa sielewi uliangalia mwenyewe au uliangaliziwa jadi iseme jina hamna

Mungu akubariki mkuu kwa kumsaidia dada yetu! Tatizo alipanic, nipende kuwatarifu tu ndugu ni hivi kama walikuandikia kuwa upo selected basi hauwezi kukosa kwenye kozi zote ulizoomba.
 
umepanic mwenyewe sasa sijui wewe unakufa vipi? acha pressure jina lipo chuo cha TUDARCO tumaini

sasa sielewi uliangalia mwenyewe au uliangaliziwa jadi iseme jina

hamna

Asante kaka yangu hapa natumia simu ndogo net yenyewe yakuunga tangu usiku nafanya kaxi ya kitafuta sijala hadi mda huu.barikiwa
 
Asante kaka yangu hapa natumia simu ndogo net yenyewe yakuunga tangu usiku nafanya kaxi ya kitafuta sijala hadi mda huu.barikiwa

Nyie watu wengine mnachezea sana habari ya kifo kirahisi rahisi namna hiyo...umetafuta kwa makengeza yako na mapupa na wakati simu yenyewe tena kimeo.

Kwanini msiwe mna tulia?? Tena bora ungeandika tu naomba mwenye kuweza kunisaidia kuona jina tungekuelewa kuliko kutukurupusha tukizani alshabab wamekudaka wanataka kukuchinja...hovyo kabisa weye...mmmxxx!!
 
Mungu akubariki mkuu kwa kumsaidia dada yetu! Tatizo alipanic, nipende kuwatarifu tu ndugu ni hivi kama walikuandikia kuwa upo selected basi hauwezi kukosa kwenye kozi zote ulizoomba.

alipanic balaa yaani
 
Asante kaka yangu hapa natumia simu ndogo net yenyewe yakuunga tangu usiku nafanya kaxi ya kitafuta sijala hadi mda huu.barikiwa

kwa simu ndogo usingeona milele cuz majina yapo katika pdf format. ho gera zake pia chuo atafungua tare 20/10
 


Tetetetete!jamani umenichekesha eti makengeza yaani pamoja na panic xangu ila umenipa raha samahani kama nimekikwaza nilishaomba msaada kuangaliziwa but naishia kiwekewa link za vyuo asante mpendwa tena sana sasa naomba uniwekee hiyo link ya tudaco au uniwekee file lenye majina .
Shukran
 

umeona eee afu majina yenyewe yapo kama 116 tu kwenye kozi yake sema ndo ivo pressure
 
kanishtua uyu kiumbe asiyejua namna ya kutumia lugha.

Madenge samahani ndugu yangu laiti ungejua nilivokuwa nasweat hapa ungenipa pole since usiku nimekodoa hadi simu inachoma
 
umeona eee afu majina yenyewe yapo kama 116 tu kwenye kozi yake sema ndo ivo pressure

Mpaka sasa sijaona ila nimeridhika unajua dogo yuko kikjini kanipa hiyo kazi since jana natafuta sioni naambiwa anaumwa huko maana anahisi hajaitwa.mama tena pressure
 
kwa simu ndogo usingeona milele cuz majina yapo katika pdf format. ho gera zake pia chuo atafungua tare 20/10

Umeona ee yaani ilikuwa noma asante sana hapa naigulia maumivu ya mgongo naombeni kama itaezekana mnicopyie hilo file ili nione nami.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…