Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana japo hiyo ni Hotline ya Wizara ya AfyaNHIF natumia 199 fuata maelekezo then utabonya kuongea na mtoa huduma
Hiyo inatumika kwa idara zote za wizara ya afya,piga sikiliza fuata maelekezo bonyeza namba inayokuhusuAsante sana japo hiyo ni Hotline ya Wizara ya Afya
NHIF sikuhizi hawana Hotline?
Kama yupo mchoteka(mfano) mpaka afike songea sio leoAende kwenye ofisi zao jirani na hapo anapoishi
Hata mie namalizana nao kwenye hiyo hiyo namba, tena wana customer care nzuri sana kuliko hata ukifika ofisi zao... kikubwa awe mvumilivu tu anaweza akasubiri kuunganishwa hata baada ya dkk 15.NHIF natumia 199 fuata maelekezo then utabonya kuongea na mtoa huduma
Yeah,muda wa kusubiri mpaka kuunganishwa ndio changamoto,Hata mie namalizana nao kwenye hiyo hiyo namba, tena wana customer care nzuri sana kuliko hata ukifika ofisi zao... kikubwa awe mvumilivu tu anaweza akasubiri kuunganishwa hata baada ya dkk 15.