Msaada, namba ya kumbukumbu ya heslb

ISIMBA

Senior Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
144
Reaction score
30
Nlikua najaribu kulipa loan application fee ya HESLB kwa M-pesa (Tshs 30,000). Sasa wakati nikifata process kuna mahali wakaniambia "Ingiza namba ya kumbukumbu." Mimi hiyo namba ya kumbukumbu siifahamu naomba kujuzwa please...!
 
Namba ya kumbukumbuku ni Index Namba yako ya fomu 4 mfano S1212.0011.2011:baby:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…