Habari wanajamvi?
Nahitaji mwongozo kisheria namna ya kumchukua mtoto kwa mama yake naona ameshindwa kumlea.
Mtoto bado mdogo mama yake alidai anaweza kumlea ila nilichokiona ni tofauti sana. Mtoto bado mdogo sana ana mwaka na miezi 8 ila nilishangaa kuona mama wa mtoto anafanya kazi na mtoto anaachiwa ndugu zake. Je, hii ni sawa?
Pia hata wakati tunaishi pamoja mtoto alipendeza sana ila tangia analelewa na mama tu amedhoofika sana mtoto.
Je, sheria inanipa mwongozo gani ili niweze kumchukua mwanangu kwani mazingira anayoishi kwa sasa ni hatari kwake.
Nahitaji mwongozo kisheria namna ya kumchukua mtoto kwa mama yake naona ameshindwa kumlea.
Mtoto bado mdogo mama yake alidai anaweza kumlea ila nilichokiona ni tofauti sana. Mtoto bado mdogo sana ana mwaka na miezi 8 ila nilishangaa kuona mama wa mtoto anafanya kazi na mtoto anaachiwa ndugu zake. Je, hii ni sawa?
Pia hata wakati tunaishi pamoja mtoto alipendeza sana ila tangia analelewa na mama tu amedhoofika sana mtoto.
Je, sheria inanipa mwongozo gani ili niweze kumchukua mwanangu kwani mazingira anayoishi kwa sasa ni hatari kwake.