ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Wana JF,
Naomba mwenye uzoefu na kitu hicho anipe utaratibu.Nimeamua nataka kuwa mfanyabiashara.
Naomba mwenye uzoefu na kitu hicho anipe utaratibu.Nimeamua nataka kuwa mfanyabiashara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyengeza:-
1.Malipo yanayofanyika Tra ni kwa mapato ya serikali Kuu
2.Malipo yanayolipiwa halmashauri zote nchini ni kwa ajili ya halmashauri zenyewe ktk majukumu mbalimbali ya kijamii ie ujenzi wa Barbara,madarasa,hospitality nk