Utaratibu ni rahisi,
Unaenda TRA iliyo Karibu nawe unapatiwa TIN bure,Na kufanyiwa makadirio kwa ajili ya malipo ya Utakaso wa Kodi,au taxi clearance certificate ambayo utalipia.
Baada ya kupata T.C yako,utaenda nayo katika ofisi yoyote ya halmashauri iliyo ktk eneo lako la biashara Na kujaza fomu ya maombi ya biashara husika Na Afisa biashara atakufanyia makadirio kwa ajili ya Leseni yako kutokana Na maombi yako.
Hatua hii inahusisha uwepo wa nyaraka MF. Tin,t.c Na kama ni kampuni iliyosajiliwa unaweka Na mou+ incorporation certificate au vyeti vya usajiri toka brela.
Unaenda kulipia benk Na kurejesha slip kwa ajili ya mfumo wa malipo ya kielektrinika Na unaandaliwa Leseni yako.