Msaada: Namna ya kuacha kazi serikalini na kuajiriwa upya

Msaada: Namna ya kuacha kazi serikalini na kuajiriwa upya

Elly Andrew

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
411
Reaction score
175
ndugu wana jf nmekuwa na jambo linalonitatiza na nategemea msaada wenu. Mm ni muajiriwa mwaka huu kama mwalimu wa sek. But nimepata kaz BANDARI YA dsm,hvyo natakakufaham taratbu za kisheria za kufuata ili ntakapoenda kuajiriwa pasiwe na kikwazo,niliona vema kuacha kimya bila taarifa ili wanifute,je hlo linaathari gan ukzingatia nina siku tatu kuondoka.tafadhl nisaidien.
 
Kaanze kaz bandarin upate pesa nyingi. Sheria ya kuacha kaz itakuchelewesha, uzur hata tsd no bado hujapewa sivyo? Haitasumbua sana, andika barua kwa ded wako singizia afya yako mbaya hivyo huwez kuendelea na kaz.
 
Nyamaza tu wakiona kimya,wanakata tu mshahara,ukiwaambia umepata kazi watakusumbua,wacha wakuone mtoro
 
kaanze kaz bandarin upate pesa nyingi. Sheria ya kuacha kaz itakuchelewesha, uzur hata tsd no bado hujapewa sivyo? Haitasumbua sana, andika barua kwa ded wako singizia afya yako mbaya hivyo huwez kuendelea na kaz.

ahsante
 
Mwandikie mwajiri kuwa unaomba likizo bila malipo kwa sababu "zisizoweza kuzuilika". Then nenda Bandari. kule bandari watakuweka kwenye probation period. Ile probation ikiisha na ukawa conformed bandari then unaweza kumwandikia mwajiri wako wa awali kuwa hutarudi tena kazini.

Likizo bila malipo is a good insurance kwako just in case it doesnt work out well with Bandani.
 
mwandikie mwajiri kuwa unaomba likizo bila malipo kwa sababu "zisizoweza kuzuilika". Then nenda bandari. Kule bandari watakuweka kwenye probation period. Ile probation ikiisha na ukawa conformed bandari then unaweza kumwandikia mwajiri wako wa awali kuwa hutarudi tena kazini.

Likizo bila malipo is a good insurance kwako just in case it doesnt work out well with bandani.

nashukuru kaka,hofu yangu nipale ntakapo wekwa kwenye data base yao na kuonekana nimeajiriwa kwingne coz probation ntakuwa napatiwa check no. Pia.alafu tulioajiriwa hatuna kibadil cha likzo yoyote.msaada plz.
 
nashukuru kaka,hofu yangu nipale ntakapo wekwa kwenye data base yao na kuonekana nimeajiriwa kwingne coz probation ntakuwa napatiwa check no. Pia.alafu tulioajiriwa hatuna kibadil cha likzo yoyote.msaada plz.

Wewe unaonekana haujamwelewa ushauri wake au? Maana sijui umejibu nini tena. Huo ndio ushauri mzuri tuuuuuu aliokupa kama hauuwezi sasa sijui wewe ni employee wa kiaina gani.

N.B. Andika sentensi zako bila hiyo lguha ya sijui kudonoa ili ueleweke
 
Wewe potea aga unaenda kwa matibabu then..
mshahara utaingia kwa miezi miwili mitatu baada ya hapo watasitisha na kukufuta kabisa
 
Unaweza kuacha kazi kwa kutoa notisi ya mwezi mmoja kitu ambacho umeshachelewa.......njia ya pili ni kumlipa mwajiri wako mshahara wa mwezi mmoja badala ya kutoa notisi ya mwezi mzima hii ni njia rahisi kama unataka kuachana naye moja kwa moja .............au omba likizo bila malipo
 
Unaweza kuacha kazi kwa kutoa notisi ya mwezi mmoja kitu ambacho umeshachelewa.......njia ya pili ni kumlipa mwajiri wako mshahara wa mwezi mmoja badala ya kutoa notisi ya mwezi mzima hii ni njia rahisi kama unataka kuachana naye moja kwa moja .............au omba likizo bila malipo

unaomba hiyo likizo mpaka muda gani?
 
ndugu wana jf nmekuwa na jambo linalonitatiza na nategemea msaada wenu. Mm ni muajiriwa mwaka huu kama mwalimu wa sek. But nimepata kaz BANDARI YA dsm,hvyo natakakufaham taratbu za kisheria za kufuata ili ntakapoenda kuajiriwa pasiwe na kikwazo,niliona vema kuacha kimya bila taarifa ili wanifute,je hlo linaathari gan ukzingatia nina siku tatu kuondoka.tafadhl nisaidien.

omba kitu inaitwa secondment serikalini inaruhusiwa hasa kama unaenda kwenye taasisi ya umma kama bandari. usiache kimya kimya maana kama mtashindwana na bandari itabidi uanze tene kutafuta kazi. wenzio wengi wamefanya hivyo wala haina shida. kazi njema huko bandari msalimie mwakyembe mkikutana ila angalia usije ingia kwenye 18 zake!
 
ndugu wana jf nmekuwa na jambo linalonitatiza na nategemea msaada wenu. Mm ni muajiriwa mwaka huu kama mwalimu wa sek. But nimepata kaz BANDARI YA dsm,hvyo natakakufaham taratbu za kisheria za kufuata ili ntakapoenda kuajiriwa pasiwe na kikwazo,niliona vema kuacha kimya bila taarifa ili wanifute,je hlo linaathari gan ukzingatia nina siku tatu kuondoka.tafadhl nisaidien.

Elly Andrew umefanikiwa.????
 
Last edited by a moderator:
ndugu wana jf nmekuwa na jambo linalonitatiza na nategemea msaada wenu. Mm ni muajiriwa mwaka huu kama mwalimu wa sek. But nimepata kaz BANDARI YA dsm,hvyo natakakufaham taratbu za kisheria za kufuata ili ntakapoenda kuajiriwa pasiwe na kikwazo,niliona vema kuacha kimya bila taarifa ili wanifute,je hlo linaathari gan ukzingatia nina siku tatu kuondoka.tafadhl nisaidien.
Mkuu ebu tupe mrejesho wa hii kitu
 
Nadhani kuna 24 hours au three months notice. Ukiwapa 24hrs, unawalipa mshahara wa mwezi mmoja.
 
Back
Top Bottom