Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
mtanzaniahalisi@yahooNipe email yako nikutumie mkataba ukaprint tu...!!
jiongeze mkuu upate daladala,inalipaUsimkatishe tamaa mwenzako nmejenga kwa biashara ya bodaboda,nilianza na mbili na sasa nnazo 5 na bajaji 3 kwa kipindi cha miaka 6 na nnampango wa kuwa na kampuni ya usafirishaji na ndio ndoto yangu. Bila mia huweza pata milioni.
dangertalented@gmail.com tupia mkuuNipe email yako nikutumie mkataba ukaprint tu...!!
Refer the above Reply then uta-edit accordingly, Thanksdangertalented@gmail.com tupia mkuu
issaharuna5@gmail.comNipe email yako nikutumie mkataba ukaprint tu...!!
Aisee mkuu na mimi nauomba huo mkataba :cleophance98@gmail.comJina lake kamili, kiapo cha yeye kupokea pikipki kutoka kwako,regstration number za pikipki,tarehe ya mkataba kuanza na kumalizika, masharti ya mkataba kama atatengeneza yy ikiharibika, atalipa fine kwa makosa yote ya barabarani bila kuathiri marejesho, akishindwa kulipa marejesho kwa kipindi flan eg. One week atavunja mkataba with no compasation.ikiibiwa atailipa mpya. Baada ya mkataba kuisha utamkabidhi pikipki na kadi yake original. Bado itabaki ni mali yako kabla ya mkataba kuisha. NB. Hakikisha ina vibali vyote kabla haijaingia barabaran. Mengine utaongezea.
Tupe mrejesho nduguHabari ,
Wakuu ipo hivi "nataka nifanye biashara ya pikipiki(bodaboda) kwa mkataba yani nampa dereva pikipiki awe ananiletea sh 10000 kwa kila siku then baada ya mwaka mmoja inakua yake, hapo gharama za matengenezo mbalimbali pamoja na sevices zinakua juu yake yeye.
Kwa hiyo kwa hizo siku 365 za mwaka nategemea kupata kiasi cha shil mil 3.5"
Sasa wakuu mimi ni mgeni kwenye haya mambo yani sina idea yoyote juu ya hii mikataba inavyokua so nimeamua niwaletee ndugu zangu humu JF munipe hints mbalimbali kama format ya mkataba na pia.
Mambo muhimu ambayo yanatakiwa yawepo ndani ya huo mkataba pia vitu vya kuzingatia wakati wa kuandika na mahali pa kuandikishiana mkataba.
NB: Naelewa kua biashara ya bodaboda ina faida kidogo na ina changamoto nyingi,naifanya tu kwa sababu ninazozijua mwnyewe!
Thanks.
Nipe email yako nikutumie mkataba ukaprint tu...!!
Mkuu tupeane hiyo mikatabaAisee mkuu na mimi nauomba huo mkataba :cleophance98@gmail.com
Tupeane mkataba hiyoNaomba unisaidie huo mkataba kiongozi
remigiusmatojo68@gmail.com
saidlusabha@gmail.comNaomba unisaidie huo mkataba kiongozi
remigiusmatojo68@gmail.com
Zener nitumie namim huo mkataba saidlusabha@gmail.comAisee mkuu na mimi nauomba huo mkataba :cleophance98@gmail.com
Haufunguki mkuu nitumie saidlusabha@gmail.comAngalieni huo kama utawafaa