Msaada namna ya kuanza maisha

Msaada namna ya kuanza maisha

Muhsin Snr

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2020
Posts
515
Reaction score
806
Habarini ya Jumapili wakuu, mimi ni kijana wa miaka 23 nipo sam wea chuoni namalizia degree yangu fulani, leo nimekuja kuomba msaada wa kimawazo namna ya kuyaingia maisha ya mtaani.

To put things in persective, ninaishi kwa wazazi wa hali ya chini(milo miwili ya kubahatisha) Dar es salaam....
Mwenyewe nilikua na mpango wa kutumia pesa ya kujikimu chuoni kuanzisha biashara ya playstation kwa ajili ya kuanza maisha taratiiibuh😎. Kwa wazoefu wa maisha huko mtaaani naomba mawazo yenu...
 
Karibu mtaani mkuu, hiyo hela ya kujikimu unayo kiasi gani na vitu vya kuanzisha ps unavyo tayari?
 
Karibu mtaani mkuu, hiyo hela ya kujikimu unayo kiasi gani na vitu vya kuanzisha ps unavyo tayari?
Taayari home kuna kafrem kauongo na kweli ni marekebisho kidogo...ila vifaa bado sijanunua nipo kwenye mpango wa kununua
 
Naomba kabla hujaanza hiyo biashara ya play station fanya utafiti wa kutosha ili usijeifunga kabla hata pesa haijaanza kurudi.

Kama n mtaani ujiandae kupata malalamiko kutoka kwa wazazi ya watoto kuiba ela au kutoenda shule wanakuja kucheza games.

Tafuta site nzuri if possible fungua salon ya kawaida mtaani, tafuta kinyozi mzuri mkubaliane goli kwa wiki umkabidhi ofisi muda huo ukipanga kujishughulisha na shughuli nyingine ndugu.
 
Nitafute 0676091570/ WhatsApp 0748062691 kwa ushauri zaidi kazi za kujiajiri na ukapata mpaka 20000 na zaidi kwa siku ni nyingi mimi nna uzoefu wa kutosha kabisa kwenye hiyo industry karibu sana kwa ushauri zaidi for free consultancy or paid for more earning kwa kuanzia mtaji 10000 au 27000 unaweza zalisha mpaka 20000 au zaidi kwa siku kikubwa follow instructions
 
Naomba kabla hujaanza hiyo biashara ya play station fanya utafiti wa kutosha ili usijeifunga kabla hata pesa haijaanza kurudi.

Kama n mtaani ujiandae kupata malalamiko kutoka kwa wazazi ya watoto kuiba ela au kutoenda shule wanakuja kucheza games.

Tafuta site nzuri if possible fungua salon ya kawaida mtaani, tafuta kinyozi mzuri mkubaliane goli kwa wiki umkabidhi ofisi mda huo ukipanga kujishughulisha na shughuli nyingine ndugu.
Nashukuru kwa ushauri
 
Maisha yanaanza pale unapojua upo hapa duniani kwa ajili ya kutimiza kusudi.

Ni kusudi lililowekwa na Mungu maana ndiye aliyetuumba ili tulitekeleze.

Njia pekee ya kung'amua uishije kwa mujibu wa kusudi ni kumuuliza Mungu mwenyewe au kupitia mwongozo wa neno la Mungu.

Bahati mbaya wanadamu tunaishi kwa kuongozwa na tamaa zetu.

Mkuu kama unataka kukomboa wakati, nguvu na kutoangamia kwa kukosa maarifa don't let human beings judge your life kama unavyofanya hapa but God.
Thankz mkuu....nipo aware na hilo jambo
💪
 
Back
Top Bottom