Msaada namna ya kuanzisha duka la vifaa vya ofisini na shuleni

wililo

Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
78
Reaction score
27
habari Jf? Nipo biharamulo-Kagera naomba msaada wa namna ya kuanzisha biashara ya vifaa vya shule na ofisini. Naomba kujua bei za photokopi mashine, scaner, laminator machine na komputa ya mezani na printa na maduka ya vifaa ofisi na shule kwa bei ya jumla mjini Mwanza. Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…