Search hiyo topic yako kwenye jukwaa la kilimo na ufugaji utapata kila kitu hadi ambavyo hukutana kujua.
Habari za jioni wanajamvi.
Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi au anayejua namna ya ufugaji wa samaki. Upatikanaji wa mbegu, uchimbaji wa kisima, chakula, muda wa kuvuna toka kupanda na namna ya upatikanaji wa soko la uhakika.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Kugeuka,
Kuna group la ufugaji samaki kibiashara huko ndo mwisho wa matatizo.ni PM no yako.
0753092822 ni add piaKaka kua makini na January ila pia mimi ni mtaalamu nimesoma Fisheries nyegezi na nikamaliza degree yang u SUA nikuombe nikuweke kwenye group langu ujifunze kisha utauliza na ukijihakikishia niambie 0769752665 nicheck WhatsApp
Sent using Jamii Forums mobile app