Nahitaji kupata maelekezo namna ya kufunga kampuni BRELA KUPITIA PORTAL YAO.
Kuna kampuni haifanyi kazi nahitaji kuifunga nishamalizana na TRA bado brela.
✍️SAJILI HUDUMA HIZI KWA GHARAMA NAFUU
1.kusajili kampuni au jina la biashara (business name)
2.Updating company / Updating Business name(jina la Biashara)
3.Kufile annual returns kwa kampuni online
4.kufuatilia kibali cha benki kuu tanzania (bot) kwa kampuni za kukopesha (micro finance )
5.Leseni ya biashara za daraja la kwanza Kwa njia ya online (viwanda na biashara) ambazo hazitolewi manispaa
6.Tunasajili trade mark ya biashara
7.Tunasajili NGOS na tunatengeneza company profile
8.Tunaandaa vitabu vya Tenda
9.Tunatoa huduma online passport application
10.Tunatoa ushauri wa kodi kwa wafanyabiashara
LOCATION:
✍️Ofisi yetu ipo Dar es Salaam maeneo ya M/Mmoja
MAWASILIANO
📞 Piga 0768417896 au 0655895751
Karibuni sana 🙏🙏