Hii namba ni ya nani mkuu???Piga namba 0713 222 332 Na ueleze shida yako utasaidiwa haraka Na kwa uhakika
Ni ya BRELA huduma kwa wateja... wakipokea tu wanajitambulisha.... usiogope ipo pia kwenye kurasa zaoHii namba ni ya nani mkuu???
Wadau amani kwenu, nimekuwa nina ndoto ya kufungua kampuni ya consultancy, nimepitia website ya BRELA, lakini naomba uzoefu kwa wale waliofanikiwa hasa kuhusu mtaji, maana hii ndio changamoto kubwa sana.karibuni kuchangia kama kuna makosa ya uandishi nisameheni.
HapanaJE kufungua kampuni hadi uwe na mtaji mkubwa????
Una uzoefu wowote kuhusu kampuni za namna hii mkuuhapana kaka, inategemea na aina ya shughuli unazotaka kufanya katika kampuni yako, mfano kampuni za kufanya usafi, fumigation hazihitaji mtaji mkumwa ni office na sanduku la posta bac
Una uzoefu kuhusu kampuni za aina hii, usafi na fumigation ?hapana kaka, inategemea na aina ya shughuli unazotaka kufanya katika kampuni yako, mfano kampuni za kufanya usafi, fumigation hazihitaji mtaji mkumwa ni office na sanduku la posta bac
Ntafte chemba tuongeeMimi nimemaliza chuo ni technician wa(civil) ujenzi nanina mtaji we milion moja sasa naeza kweli fungua kampuni ya ujenzi class 7
Mhhh nikipata maelezo ya kinaSi ufuge tu kuku mzee....
Poa mtaalam inabidi tuongeeNtafte chemba tuongee