Msaada namna ya kuhamisha mzigo kutoka Mwanza hadi Dar es salaam

Msaada namna ya kuhamisha mzigo kutoka Mwanza hadi Dar es salaam

Adolph Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
5,950
Reaction score
9,511
Ni mzigo mkubwa wa bati ngumu za mageti (Sheets)...

zina urefu na upana sawa wa futi nane kila upande,Zipo nne, lilikuwa banda hivi sasa nimelikata kata sasa nalihamisha kutoka huko mkoani mwanza kuja huku Dar...

Nasema hivyo maana hadi sasa sijapata mtu au kampuni ya kufanya shughuli hiyo.

Msaada tafadhari...
 
Bati piece nne sio mzigo mkubwa, toa maelezo kamili upate kusaidiwa mawazo, ikibidi weka picha zina thickness ya mm ngapi!?.. kama zipo square ushauri namba moja uza hizo bati Mwanza njoo Dar nikuonyshe machimbo ya bati hizohizo kwa bei nzuri. Endapo utapata mteja mzuri tofauti itakuwa ndogo sana na kuhangaika kuzisafirisha.
 
Bati piece nne sio mzigo mkubwa, toa maelezo kamili upate kusaidiwa mawazo, ikibidi weka picha zina thickness ya mm ngapi!?.. kama zipo square ushauri namba moja uza hizo bati Mwanza njoo Dar nikuonyshe machimbo ya bati hizohizo kwa bei nzuri. Endapo utapata mteja mzuri tofauti itakuwa ndogo sana na kuhangaika kuzisafirisha.
Yaani hilo banda lilitengenezwa kwa sheet nane na unafahamu sheet moja ina urefu 4*8 kwahiyo nilipolikata upana ni sheet mbili mara 2 ni nne na upana ni sheet mbili mara 2 ni nne jumla nane....ok kuna sehemu haujaelewa?
 
Nenda pàle maeneo ya Lango lango kuna kamouni ya kusafirisha mizigo inaitwa Salu transport watakusafirishia mzigo wako utauchukua hapo Buguruni
 
Yaani hilo banda lilitengenezwa kwa sheet nane na unafahamu sheet moja ina urefu 4*8 kwahiyo nilipolikata upana ni sheet mbili mara 2 ni nne na upana ni sheet mbili mara 2 ni nne jumla nane....ok kuna sehemu haujaelewa?
Nimeelewa mkuu, Kuna gari zinaleta mizigo Mwanza na kurudi Dar zikiwa tupu, tafuta kituo cha magari ya mizigo au fata ushauri wa mdau hapo juu. Njia nyingine ni Train ya mizigo reli ya kati, huwa wanalipisha mizigo ela kidogo kulinganisha na magari. Sijui kwa siku hizi kama ipo hewani.
 
Nimeelewa mkuu, Kuna gari zinaleta mizigo Mwanza na kurudi Dar zikiwa tupu, tafuta kituo cha magari ya mizigo au fata ushauri wa mdau hapo juu. Njia nyingine ni Train ya mizigo reli ya kati, huwa wanalipisha mizigo ela kidogo kulinganisha na magari. Sijui kwa siku hizi kama ipo hewani.
asante, hili la treni ndiyo nimelisikia kwako ngoja niulizie kama lipo
 
Nenda pàle maeneo ya Lango lango kuna kamouni ya kusafirisha mizigo inaitwa Salu transport watakusafirishia mzigo wako utauchukua hapo Buguruni
Asante nitapitapo kuulizia ...asante sana
 
Back
Top Bottom