Msaada: Namna ya kuitafsiri na kuisoma Katiba

Msaada: Namna ya kuitafsiri na kuisoma Katiba

WilsonKaisary

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
392
Reaction score
949
Kuomba msaada wa kujua Jambo naamini si ujinga.

Kwenye katiba kuna kitu kinaitwa ibara na sheria ndogo za mwaka Fulani.

1: Ibara Ni Nini? Na ibara za katiba zinapatikana wapi?
>>Ibara ndogo Ni Nini na zinapatikana wapi?

2: Sheria ndogo Ni zipi na zinapatikana wapi? Na kwenye katiba, unakuta imeandikwa sheria namba, hizi sheria zenye namba zipo wapi na nazipataje?

Na je katiba imekamilika na ina vyote nilivyo-viuliza hapo juu vipo vyote? Na vyote vinapatikana ndani ya katiba moja.?
 
Mawakili wapo kwa ajili yako, una papara za kwenda wapi?

Hayo yote unataka kuyajua ili ufanye nini?

Ni sawa na mtu asiye daktari kutaka kujua procedures za kufungua ubongo na kupasua neurons! ili iweje!?

Wewe jua tu basics issues! Haki na wajibu wako kama mwananchi halali wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengine waachie wahusika. Usijitese!
 
Back
Top Bottom