Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Nasalimia kwa adabu zote stahiki. Bahati mbaya kiswahili chetu hakijawa na salama "universal" na mjadala wa "shikamoo" hatujawai kuufunga!
Ila bado napigia chapuo...salaam aleikhum!
Humu JF ni familia. Tunawekana sawa kila mtu na karama yake, elimu, maarifa na ujuzi!
Hoja yangu ni huyu binti ambae bila kujari past yake (maana kila mtu ana shits zake za nyuma na binafs si mzuri wa kuhukum) anasumbuliwa na kitendo cha kutoa mimba.
Tatizo ni kwamba suala limemuathiri sana kisaikolojia kwa kujiona mkosaji dhidi yake na Mungu. Hana kifua cha kujipoza kwa lililokwisha kuwa!
Je, ni maneno/mbinu gan naweza kumshauri aweze kufuta kumbukumbu asonge mbele?
Mana ni kama anahisi hatia ni kubwa na inamtafuna sana kisaikolojia.
Nahitaji msaada wa kuanzia alipo sio ilikuwaje!
Naamin tu mi sijui lakin kuna wanaojua mana hii ni taaluma pia. Naheshim taaluma kama ninavyoheshim uzoefu!
Ila bado napigia chapuo...salaam aleikhum!
Humu JF ni familia. Tunawekana sawa kila mtu na karama yake, elimu, maarifa na ujuzi!
Hoja yangu ni huyu binti ambae bila kujari past yake (maana kila mtu ana shits zake za nyuma na binafs si mzuri wa kuhukum) anasumbuliwa na kitendo cha kutoa mimba.
Tatizo ni kwamba suala limemuathiri sana kisaikolojia kwa kujiona mkosaji dhidi yake na Mungu. Hana kifua cha kujipoza kwa lililokwisha kuwa!
Je, ni maneno/mbinu gan naweza kumshauri aweze kufuta kumbukumbu asonge mbele?
Mana ni kama anahisi hatia ni kubwa na inamtafuna sana kisaikolojia.
Nahitaji msaada wa kuanzia alipo sio ilikuwaje!
Naamin tu mi sijui lakin kuna wanaojua mana hii ni taaluma pia. Naheshim taaluma kama ninavyoheshim uzoefu!