Msaada: Namna ya kununua hisa

Msaada: Namna ya kununua hisa

Sinewy

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
367
Reaction score
170
kwa anayejua utaratibu wa namna ya kununua hisa kwenyesoko la DSE
 
kwa anayejua utaratibu wa namna ya kununua hisa kwenyesoko la DSE

mkuu sinewy kiukweli bihashara ya hisa inalipa sana ukiwa serious na ukapata sehemu nzuri ya kuwekeza hisa zako kuna jamaa mmoja namfahamu anaitwa kaundama alikuwa ana hisa zake katika benki ya nmb baada ya mgawo jamaa kapata profit kubwa na amefungua hoteli ya gorofa 7 mkoani iringa cha muhimu fika katika ofisi za DSE (dar es salaam stock exchange kwa maelezo kuhusu hisa!!!!!
 
Usimdanganye mtu wa watu,ingekuwa inalipa hivyo na wewe si ungekuwa umenunua.

mkuu sinewy kiukweli bihashara ya hisa inalipa sana ukiwa serious na ukapata sehemu nzuri ya kuwekeza hisa zako kuna jamaa mmoja namfahamu anaitwa kaundama alikuwa ana hisa zake katika benki ya nmb baada ya mgawo jamaa kapata profit kubwa na amefungua hoteli ya gorofa 7 mkoani iringa cha muhimu fika katika ofisi za DSE (dar es salaam stock exchange kwa maelezo kuhusu hisa!!!!!
 
Swali umeuliuza utaratibu wa kununua hisa na sio biashara ya hisa inavyoenda.
Nenda kwa broker ambao utawakuta ktk trading floor ya DSE ama benki ya posta ama crdb.fanya homework ya kujua ni kiasi gani minimum quantity ya hisa.kama kutakuwa na hisa zinauzwa za hiyo kampuni basi utanunua.maana soko linategemea wanaouza hisa zao na wanaonunua.
 
unaweza kununua hisa kutoka kwa stock brokers, hizi ni kampuni ambazoo husaidia ununuzi na uuzaji wa hisa. mfano wa brokers ni solomon brokers, wapo posta.
 
also try Orbit stock Brokers, 4th floor, pspf building
 
thanx wadau kwa ushauri wenu nitawaletea mrejesho
 
thanx wadau kwa ushauri wenu nitawaletea mrejesho

hii biashara ya hisa ni nzuri ila ina hitaji uvumilivu hisa kwa wataalam wanasema angalau uanzie miamoja kiwango cha chini kunandugu mmoja alinunua za sh milioni kumi ktk kampuni moja akavumilia miaka mitatu kwenda kuchek akakuta mil120 kajenga nyumba nne mjini hapa kwahyo inahtaji kuvumilia kdogo unapata kitu flan na uwe makini na kampuni za kuchagua mana inaweza kuwa loss pia .
 
Nenda kanunue hisa za CRDB Bado zipo katika bei nzuri... Hisa moja ni 320 so ikija kushoot uko mbele as far as the demand and supply is concern hakika hato jutia...Nenda solomon brokers au kwa wala la yoyote akakupe uelewa mzuri wa faida za hisa then uinvest...na ukiinvest kwenye hisa omba uhai tu ili Uje kuenjoy uamuzi wako
 
Back
Top Bottom