Msaada namna ya kuondoa notifications za Social media kwenye email

Msaada namna ya kuondoa notifications za Social media kwenye email

Am For Real

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
323
Reaction score
770
Habarani wataalam, nimekuwa Nikipata tatizo la email yangu kupokea notifications za Facebook,Jamii Forums, Twitter, Quora na hii imesababisha email yangu kuwa bize Kila dakika.

Pia nashindwa kupata email muhimu maana zikianza email za Facebook zinaweza ingia hata 30 na kuficha zile za muhimu.Quora nao usiseme ni Fujo tupu Kwa siku sio chini ya email 15.Hivyo napokea email nyingi zisizokuwa na umuhimu.

Naomba msaada niweze kudisconnect notifications za Social media zisiweze kuingia Tena kwenye Email zibaki huko huko kwenye apps.
 
Fungua hiyo email chini kutakuwa na link ya Unsubscribe bonyeza hapo itakupeleka hiyo site katika setting zake za notification za email ambapo utaweza kuzima.

Kama unatumia Gmail pia ina option ya Unsubscribe ndani yake kwa baadhi ya email, kwenye simu unabonyeza vidoti juu kulia ukishafungua email.

Likishindikana hilo unaweza kublock emails kama SPAM au kutengeneza filter ili hizo email zisiwe zinaingia inbox bali zinaenda folder nyingine.
 
Ingia google settings ya akaunti yako.

Ukigusa pale kwenye picha yako, utaona sehemu pameandikwa manage your Google account.

Halafu ingia security

Utashuka chini na utaona apps zote ambazo umesign-in kupitia Email yako ambazo sasa ndio zinakutumia hizo emails usizozitaka.

Chakufanya hapo ni kuangalia n apps zipi huihitaji kupata email zake kwa kuzibonyeza hizo apps na chini kabisa utaona kipengele cha delete all connections you have with (jina la apps husika)

Hapo utakuwa umemaliza ila itakuwa imebaki jambo moja la kurudi JF na kunitafuta mimi ili nkutumie namba yangu ya MPESA ili unitumie chochote kitu mana mimi ni jobless na sina kitu 😭
 
Ingia google settings ya akaunti yako.

Ukigusa pale kwenye picha yako, utaona sehemu pameandikwa manage your Google account.

Halafu ingia security

Utashuka chini na utaona apps zote ambazo umesign-in kupitia Email yako ambazo sasa ndio zinakutumia hizo emails usizozitaka.

Chakufanya hapo ni kuangalia n apps zipi huihitaji kupata email zake kwa kuzibonyeza hizo apps na chini kabisa utaona kipengele cha delete all connections you have with (jina la apps husika)

Hapo utakuwa umemaliza ila itakuwa imebaki jambo moja la kurudi JF na kunitafuta mimi ili nkutumie namba yangu ya MPESA ili unitumie chochote kitu mana mimi ni jobless na sina kitu 😭
Hii itafuta sehemu yoyote uliyologin na google sio email tu.
 
Hii itafuta sehemu yoyote uliyologin na google sio email tu.
Ishu n email unaotumiwa na hizo apps si ndio? Bc kwa kufanya hvy unakuwa umevunja connection ya hizo apps hvy hawatoweza kukutumia Email ila bado utakuwa unaweza kupata huduma zao.

Labla kama sijakuelewa.
 
Habarani wataalam, nimekuwa Nikipata tatizo la email yangu kupokea notifications za Facebook,Jamii Forums, Twitter, Quora na hii imesababisha email yangu kuwa bize Kila dakika.

Pia nashindwa kupata email muhimu maana zikianza email za Facebook zinaweza ingia hata 30 na kuficha zile za muhimu.Quora nao usiseme ni Fujo tupu Kwa siku sio chini ya email 15.Hivyo napokea email nyingi zisizokuwa na umuhimu.

Naomba msaada niweze kudisconnect notifications za Social media zisiweze kuingia Tena kwenye Email zibaki huko huko kwenye apps.
Duuh..hii nayo unashindwa mzee wangu 🤔

nenda kwenye email husika (kama ni kutoka fb, insta n.k) ifungue isoma alafu shuka mpaka mwisho kabisa chini kuna mahali imeandikwa "un-subscribe" utakuwa ushamaliza kazi.

hutopokea tena email kutoka kwenye huo mtandao husika.
 
Habarani wataalam, nimekuwa Nikipata tatizo la email yangu kupokea notifications za Facebook,Jamii Forums, Twitter, Quora na hii imesababisha email yangu kuwa bize Kila dakika.

Pia nashindwa kupata email muhimu maana zikianza email za Facebook zinaweza ingia hata 30 na kuficha zile za muhimu.Quora nao usiseme ni Fujo tupu Kwa siku sio chini ya email 15.Hivyo napokea email nyingi zisizokuwa na umuhimu.

Naomba msaada niweze kudisconnect notifications za Social media zisiweze kuingia Tena kwenye Email zibaki huko huko kwenye apps.
Kuna option ya ku unsuscribe mbona?
 
Fungua hiyo email chini kutakuwa na link ya Unsubscribe bonyeza hapo itakupeleka hiyo site katika setting zake za notification za email ambapo utaweza kuzima.

Kama unatumia Gmail pia ina option ya Unsubscribe ndani yake kwa baadhi ya email, kwenye simu unabonyeza vidoti juu kulia ukishafungua email.

Likishindikana hilo unaweza kublock emails kama SPAM au kutengeneza filter ili hizo email zisiwe zinaingia inbox bali zinaenda folder nyingine.
Asanteni Sana sasahivi zile email haziingi Tena nimeweza ku unsubscribe.
 
Back
Top Bottom