SIKU NYINGINE USITUMIE PIRITON SIYO DAWA YA MAFUAHabari za muda huu wana jukwaa la afya!
Kwa wiki kama mbili nimekuwa nikikabiliwa na tatizo la mafua,baada ya kutumia dawa aina ya Piriton(mafua yamepoa),lakini hivi karibuni kamasi zimekuwa zikitoka zikiwa na uchafu mweusi sana kiasi cha kunitia hofu!
Tatizo la mafua lilinianza baada ya kutumia muda mwingi shambani nikipalilia mahindi.
Mwenye utaalamu na hili anisaidie tafadhali.
Jioni njema!
MAFUA NI SAWA NA OIL CHAFU.NA ILI MWILI UWE SAFI UNAHITAJI VITU VINGI IKIWEMO VITAMIN C AMBAYO NDIYO KINGA NA DAWA YA MAFUA .HIVYO BASI HUPASWI KUTUMIA PIRITON KWA KUTIBU MAFUA KWANI HUSABABISHA MAFUA KUGANDA BADALA YA KUTOKA KAMA OIL CHAFU.BAADAVYA KUGANDA KINACHOWEZA KUTOKEA NI:-AMA KUOZESHA MIANZI YA PUA AUKweli eh!nifumbue mkuu!
Dah,shukrani mkuu,ngoja nishunghulikie ushauri wako.Asante sana.MAFUA NI SAWA NA OIL CHAFU.NA ILI MWILI UWE SAFI UNAHITAJI VITU VINGI IKIWEMO VITAMIN C AMBAYO NDIYO KINGA NA DAWA YA MAFUA .HIVYO BASI HUPASWI KUTUMIA PIRITON KWA KUTIBU MAFUA KWANI HUSABABISHA MAFUA KUGANDA BADALA YA KUTOKA KAMA OIL CHAFU.BAADAVYA KUGANDA KINACHOWEZA KUTOKEA NI:-AMA KUOZESHA MIANZI YA PUA AU
KUVUJA KWA MAKAMASI BILA UTARATIBU.
USHAURI:
TUMIA JUISI YA LIMAO YAANI LIMAO 1CHANGANYA NA GLASS 1 YA MAJI KUNYWA ASUBUHI NA JIONI KWA SIKU3.AU
UKWAJU GLASS1 USIWE MCHACHU SANA NA UKAJAZA SUKARI.KISHA ULETE MREJESHO
tupo pamoja mkuuDah,shukrani mkuu,ngoja nishunghulikie ushauri wako.Asante sana.