Habar wana jf
kwanza napenda kutambua uwezo mkubwa uliopo humu jf hasa katka jukwaa hili muhimu la biashara kwani wengi tunapata ujuzi na elimu ya bure ambayo hatuwezi kuipata sehemu nyingne...ngoja niende kwenye hoja ya msingi;
ningependa kupata elimu kidogo juu ya kupata mkopo kwa kampun ambayo haina mtaji lakini inataka kukopeshwa kutoka bank ili ifanye kaz zake....kwan kuna kampun nyingi ambazo nmesikia zimenufaika na mikopo ya bank hata kwenye acount zao hakuba hata pesa..ningependa kupata ufafanuz wa nini cha kufanya na kama kuna ushauri mwingine wowote pia wa kujenga nipo tayari kuupokea..natanguliza shukran zangu kwenu.
kwanza napenda kutambua uwezo mkubwa uliopo humu jf hasa katka jukwaa hili muhimu la biashara kwani wengi tunapata ujuzi na elimu ya bure ambayo hatuwezi kuipata sehemu nyingne...ngoja niende kwenye hoja ya msingi;
ningependa kupata elimu kidogo juu ya kupata mkopo kwa kampun ambayo haina mtaji lakini inataka kukopeshwa kutoka bank ili ifanye kaz zake....kwan kuna kampun nyingi ambazo nmesikia zimenufaika na mikopo ya bank hata kwenye acount zao hakuba hata pesa..ningependa kupata ufafanuz wa nini cha kufanya na kama kuna ushauri mwingine wowote pia wa kujenga nipo tayari kuupokea..natanguliza shukran zangu kwenu.