Msaada namna ya kupata result slip

Msaada namna ya kupata result slip

jaxonjaxon

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
217
Reaction score
136
Jamani naomba mnisaidie, Mdogo wangu kamaliza form four mwaka Jana, anahitaji result slip ili aitumie kutafuta vyuo, shuleni kwao(yupo kijijini) hazijatoka bado. Je naweza kuipata wapi?
 
Huwa zinatumwa mashuleni, hivyo wasiliana na wahusika ktk shule aliyosoma ili zikishawafikia wakutaarifu.
 
Back
Top Bottom