asisahau balance ya pesa inayohitajika.weka hizo evidence sasa either labda ticket ya go and return, mahali utapofikia kama kuna mwenyeji wako huko na yeye akiri kweli utarudi baada ya muda fulani,
pitia website yao itakueleza vizuri.
asante.nilifanya ivo mara ya kwanzaweka hizo evidence sasa either labda ticket ya go and return, mahali utapofikia kama kuna mwenyeji wako huko na yeye akiri kweli utarudi baada ya muda fulani,
pitia website yao itakueleza vizuri.
sawaasisahau balance ya pesa inayohitajika.
no mjasiliamali na sijaolewa sasa hapo naweka nini [emoji4]Uwe na mali isiyo hamishika mfano Kazi, au umeoa maana kama Una mke na mtoto watajua huwezi kuzamia coz umeacha familia tena unawaambia wewe ndiyo tegemezi kwenye familia na wazazi wako wanakutegemea wewe, ikibidi nenda na picha ya ukiwa umepiga wewe na familia hata kama ya kofoji kwa mke wa mtu hapo watajua huwezi kuzamia mkuu, kama umeajiriwa inabidi uambatanishe na fomu ya ruhusa kutoka kwa mwajiri Wako watakujua huwezi kukimbia kazi..
Mkuu kama umeoa ambatanisha cheti cha ndoa pia.
kule unaenda kufanya nini? tuanzie hapono mjasiliamali na sijaolewa sasa hapo naweka nini [emoji4]
kumtembelea rafiki angukule unaenda kufanya nini? tuanzie hapo
Wewe hautarudi kbs, na wameliona hilokumtembelea rafiki angu
Kama hautajali cancel hiyo safari ya Australia..njoo Sweden nakukuhakikishia mapokezi ya hali ya juu.kumtembelea rafiki angu
[emoji23][emoji23]Wewe hautarudi kbs, na wameliona hilo
Huko Sweden mkuu waweza pata kazi kirahisi?Kama hautajali cancel hiyo safari ya Australia..njoo Sweden nakukuhakikishia mapokezi ya hali ya juu.