Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Napenda kuwasalimu ndugu zangu wa JF.
Nimekuwa nikipika maharage lakini nashindwa kuyafanya yawe matamu ila akipika mwingine naona ni matamu.
Nashindwa pia kujua kubalance mchuzi ninapounga napenda mchuzi mwingi lakini najikuta nikipika Mimi huo mchuzi Unakuwa Mbaya.
Naombeni msaada pamoja na namna ya kuweka viungo na viungo vya kutumia kufanya mambo yawe bul bul
Nathamini mchango wowote.
Nimekuwa nikipika maharage lakini nashindwa kuyafanya yawe matamu ila akipika mwingine naona ni matamu.
Nashindwa pia kujua kubalance mchuzi ninapounga napenda mchuzi mwingi lakini najikuta nikipika Mimi huo mchuzi Unakuwa Mbaya.
Naombeni msaada pamoja na namna ya kuweka viungo na viungo vya kutumia kufanya mambo yawe bul bul
Nathamini mchango wowote.