Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu mkuu ifafanue hii. Nimepata babe mpya ambaye yeye tulisoma wote shule moja primary miaka hiyo nilimtangulia. Sasa hajaniona for miaka kadhaa kaniona hivi karibuni basi anakomaa nipungue😃😃😃😃Ukiona mtu mzima anataka kupunguza kitambi ujue lipo lililomkuta hasa kitandani 😂
Turudi kwenye mada angalia vyote vinavyosababisha uote kitambi kisha nenda navyo kinyume. Kwa kuanza badala ya chai uwe unapiga zako ndizi mbivu au kutafuna kabechi mbichi kila asubuh wiki mbili tu utaona matokeo
We jamaa kichefu chefu sana kila uzi upo ilimradi tu ukomenti hilo neno lako[emoji23][emoji23]